HII NI TAARIFA INAYO WAHUSU WATOTO WALIOUNGANA VIFUA KUTOKA HAPA TANZANIA........

Bila shaka kila aliekua anawafatilia au kusikia taarifa
za hawa watoto atakua na hamu ya kujua kimeendelea nini baada ya kupelekwa kutibiwa nchini India ambapo mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete amethibitisha kupitia ukurasa wake wa twitter kwa kuyaandika haya. ‘Hospitali ya Apollo lndia imefanikiwa kuwatenganisha watoto mapacha toka Tanzania waliokuwa wameungana vifua

Popular posts from this blog