KULA ZA WABUNGE WA AFRIKA MASHARIKI ZA FANYA MABADILIKO





Bunge la Afrika Mashariki limemfuta kazi aliyekuwa Spika wake Margaret Nantongo Zziwa
ambapo uamuzi huo umetokana na malalamiko ya kutumia vibaya ofisi yake kama Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA).

Maamuzi hayo yamefikiwa leo katika makao makuu ya Bunge hilo  Arusha, ambapo Zziwa aliwahi kulalamikiwa na baadhi ya Wabunge kwamba anatumia vibaya ofisi yake, amekuwa kitoa huduma isiyokidhi pamoja na ukosefu wa heshima kwa Wabunge hivyo wawakilishi 45 kukubaliana kuhusu kufukuzwa kwake kwa kupiga kura, ambapo jumla ya Wabunge waliokuwepo walikuwa 39, kura za ndiyo zilikuwa 36 huku mbili zikisema hapana na nyingine moja kuharibika.
Nilikurekodia sauti wakati habari hiyo ikiripotiwa na kituo cha WBS, unaweza kubonyeza play kuisikiliza.

Popular posts from this blog