HUYU NDO MRITHI WA SUAREZ ......... RAHEEM
winga wa liverpool Raheem Sterling ana matumaini ya timu yake ya kuwa
itanyakua ubingwa wa ligi kuu mwaka na pia ana furaha ya kucheza na strika
mpya super mario baloteli aliye jiunga na timu hiyo akitokea acmilan kwa dau la paundi 16 mil..liverpool ambayo itacheza nyumbani muda huo 19:30 Liverpo