SIJAWAHI KURIDHISHWA KIMAPENZI ( KUFIKISHWA KILELENI) NA MWANAUME YEYOTE-EFRANCIYA
Msanii wa Bongo Movies Anayeongoza kwa
kuwa na Umbo Kubwa Kati ya Wasanii wa Kike Hapa Bongo Ameibuka na Kusema
kuwa Hajawahi pata mwanaume akamrizisha kimapenzi au kufikishwa
kileleni toka aanze mapenzi , Amesema mpaka sasa aamini kama itakuja
kutokea kwake .
Msanii huyo mwenye mtoto mmoja aliibukia kwenye Mashindano ya Maisha Plus na kujizolea umaarufu Mkubwa.