DIAMOND AKANA KUMUOA MENINAH

 
 
 
atimaye Diamond Platnumz amefunguka kuhusu tetesi zinazoendelea kuwa ameachana na 
Wema Sepetu 
na
 kwamba ana mpango wa kufunga ndoa na Meninah,  Diamond alisema kuwa tetesi hizo zimekuwa
 zikimhuzunisha kwa kiasi kikubwa
Unajua hizi habari kiukweli zimekuwa zikinihuzunisha sana amesema superstar huyo wa muziki wa 
Bongofleva Tanzania.
Unajua mie ni mtu mmoja ambaye sipendi kuzunguzia mambo ya rumors, siju magazeti huwa sipendi 
kuzungumzia kabisa, kwa kuwa najua kabisa siwezi kubishana na media kwakuwa media
 ni kubwa, maana najua utaongea na huyu na yule siku ya siku utagombana na watu. Ndio maana 
huwa 
nakaa kimya,ameongeza Diamond anayetusua shows katika nchi mbalimbali ndani na nje ya Africa
 kwa sasa Kusema ukweli hili suala limekuwa likiniumiza eti sijui kuna vikao vya harusi mie
 nataka
 kumuoa 
Meninah Kusema ukweli sina mahusiano na Meninah. Kila mtu anajua mie nina mahusiano na
 Wema
"Wema ndo mpenzi wangu, ila wakati mwingine nakuwa naelewa ile inakuwa ni trick ya kibiashara. 
Mtu anajua hata nikimuandika vipi kumchukia!

Kwahiyo wanaamua kunitengenezea chuki na maadui kwa watu kuwa nipo na mwanamke wangu halafu 
namsaliti alisema Diamond uongeza


Unajua kitendo hicho hatamaye kinaniudhi naona mtu yupo na mpenzi wake halafu anamsaliti.
Najua 
hicho ni kitendo ambacho kila mtu hakimpendezi.

Kwahiyo wanaamua kunitengenezea chuki na maadui kupitia njia hiyo. Labda wana wasanii wao,
 sasa
 wanaona tukiingia kwa njia hii tutaweza kuamharibia Diamond. Ndio siku
 zote nimekuwa kimya tu
 ila sina mahusiano na Meninah. Mie nikiwa na mtu huwa sifichi naweka wazi kabisa.

Hata kama leo nimeachana na Wema nasema tu, why nifiche? Mie katika mambo yangu huwa
 simuogopi 
mtu kama ningekuwa nataka kuoa basi ninge weka wazi why nifiche?

Popular posts from this blog