MIRCOSOFT YAZINDUA WINDOWS 10................

Kampuni ya Microsoft imezindua
programu mpya ya Windows 10 ambayo imeipiku Windows 9.
Kampuni hiyo pia inatarajia wateja wake watarudi kwani wengi walikuwa wakisitasita kuboresha oparesheni zao tangu Windows 8.
Windows 10 itaingiliana na vifaa vingi hususan kutokana na uwezo wake wa kubadilisha ukubwa wa programu yake.
Kwa taarifa hii na nyenginezo za teknologia tazama makala haya.

Popular posts from this blog