PETER OKOYE WA P SQUARE AANGUKA JUKWAANI WAKATI AKITUMBUIZA WIKI HII
Mashabiki waliofika kushuhudia show
ya mapacha wa P-Square jijini
Lagos, Nigeria Jumanne wiki hii, walijikuta pia wakishuhudia ajali
aliyoipata Peter Okoye aliyeanguka kutoka jukwaani hadi chini wakati
akitumbuiza. Peter alipata maumivu kidogo ya mguu. Baada ya ajali hiyo Peter aliandika kwenye Instagram:
I’m human,I’m not perfect. But I’m thankful. I knw I will be fine b4 my next concert dis weekend in Congo Lubumbashi,Dubai …… Thanks peeps”